Waziri wa Afya na ustawi wa Jamii Dkt.Seif S.Rashid (Mb) akifungua mkutano mkuu wa 15 mwaka wa chama cha wauguzi na wakunga walio katika huduma binafsi (PRINMAT).
Nurses have been urged to avoid using foul language while attending to patients and instead focus on delivering quality services and save lives.
Muungano wa wauguzi na wakunga walio kwenye huduma binafsi za afya ya uzazi na mtoto vijijini (Prinmat), umekutana na wadau jijini Dar es Salaam, kwa lengo la kutathmini mafanikio na…
Bi Rusia Wegesa Chacha mkazi wa kijiji cha Nyabiga Kata ya Penba,(Wilaya ya Tarime) akiwa na watoto wake watatu alikojifungua katika Clinic ya Upendo Prinmat
